potential customers won't be able to benefit from the best services major benefit of best swiss mksfactoryrolex.visitors is not able to obtain services the advantage with https://se-watchesbuy.com/ usa.

the minutes and a sub-counter with the seconds. It is made of solid gold, but also their special styles bring a new echo to public and review modern ladies watches design. www.paneraireplica.co hublot replicas watches rolex deepsea replica The white lacquered dial in the upper right quarter of the watch features a blue minute track on the outside and printed roman numerals in black all around. replica iwcs breguet replica The Maurice Lacroix logo at 12 oclock is crisp and adds a finishing touch to the small dial. Just below the main dial is a small seconds indicator with another one of those bulky looking hands.

TASAF | Maktaba ya Picha
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Maktaba ya Picha

  • Waziri Simbachawene ziarani Geita kukagua shughuli za TASAF

    Imewekwa : September, 17, 2023

  • TASAF katika Maonesho ya Kilimo ya Nanenane Mbeya 2023

    Imewekwa : August, 17, 2023

  • Waziri Simbachawene atembelea ofisi za TASAF July 13, 2023

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene alipotembelea Ofisi za TASAF jijini Dar es Salaam na kuzungumza na watendaji wa Mfuko huo.

    Imewekwa : July, 17, 2023

  • Ziara ya Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concar kutembelea miradi ya TASAF katika Kijiji cha Ikombolinga Willayani Chamwino, Dodoma tarehe 1 Juni, 2023

    Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concar ametembelea na kushuhudia baadhi ya miradi wilayani Chamwino kuangalia uhawilishaji fedha kwa walengwa wa TASAF katika kuwasaidia kujikwamua kiuchumi na miradi mingine ikiwemo bwawa la Nyikani lenye lengo la kusaidia jamii za vijijini. Balozi alifurahishwa sana na jinsi miradi hiyo inavyowafikia wahusika

    Imewekwa : June, 06, 2023

  • Wanufaika wa TASAF katika shughuli zao

    Imewekwa : May, 24, 2023

  • Kikao Kazi cha Wadau kupokea maoni kuhusu ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu kwenye Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa

    Kikao kazi cha wadau kwa ajili ya kupokea maoni kuhusu ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu kwenye Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa uliofanyika kwenye ofisi za TASAF jijini Dar es Salaam tarehe 13 Aprili, 2023.

    Imewekwa : April, 14, 2023

  • Naibu Waziri Kikwete atembelea ofisi za TASAF March 28, 2023

    Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete alipotembelea ofisi ndogo ya Makao Makuu ya TASAF jijini Dar es Salaam na kuzungumza na watendaji wa Mfuko huo

    Imewekwa : March, 29, 2023

  • Salamu za Pongezi

    Imewekwa : January, 11, 2023

  • Wadau wa Maendeleo wafanya Ziara Wilayani Longido kukagua miradi ya TASAF na kuzungumza na walengwa

    Imewekwa : January, 11, 2023

  • Waziri Mhagama atembelea ofisi za TASAF Desemba 13, 2022

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama alipotembelea ofisi ndogo ya Makao Makuu ya TASAF jijini Dar es Salaam na kuzungumza na watendaji wa Mfuko huo kuhusu utendaji wa kazi zao.

    Imewekwa : December, 15, 2022

  • Walengwa wa TASAF Busokelo Wanufaika na Mpango wa Ajira Muda

    Mpango wa Ajira za Muda wa TASAF umekuwa wa manufaa sana kwa walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Halmashauri ya Busokelo. Licha ya kupata kivuko cha waenda kwa miguu, kupitia miradi hiyo walengwa wameanzisha kilimo cha umwagiliaji kama kama inavyoonekana katika habari picha

    Imewekwa : November, 15, 2022