Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Maktaba ya Picha

  • Kamati ya Bunge yashuhudia jinsi TASAF inavyogusa maisha

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria inatembelea miradi inayotekelezwa chini ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF katika mikoa ya Iringa, Njombe na Ruvuma na kujionea jinsi Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa unavyogusa maisha ya wanufaika wake

    Imewekwa : March, 14, 2024

  • Ziara ya Wadau wa Maendeleo kutoka Ubalozi wa Uswiss kwenye Kijiji cha Ruvu Darajani, Halmashauri ya Chalinze

    Tarehe 5 Disemba mwaka 2023, wadau wa maendeleo kutoka Ubalozi wa Uswisi nchini Tanzania walitembelea Kijiji chA Ruvu Darajani Halmashauri ya Chalinze mkoa wa Pwani ambapo walijionea miradi ya barabara inayotekelezwa na walengwa wa TASAF pamoja na shuhuli mbalimbali ya ujasiriamali zinafofanywa na walengwa hao katika kuboresha kipato cha kaya zao

    Imewekwa : December, 12, 2023

  • Ziara ya Naibu Waziri Kikwete mkoani Iringa 20-23 Novemba 2023

    Ziara ya Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe, Ridhiwani Kikwete katika Mkoa wa Iringa ambapo alitembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa na TASAF pamoja na kuzungumza na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini katika halmashauri za Iringa Mjini, Iringa Vijijini na Kilolo

    Imewekwa : December, 12, 2023

  • TASAF Katika Maonesho ya Wiki ya Huduma za Fedha

    Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF ni miongoni mwa washiriki wa maonyesho ya wiki ya huduma za fedha yaliyofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha. Katika maonesho hayo, walengwa wa TASAF wanaonesha bidhaa wanazotengeneza na kuuza zikiwemo sabuni, ufugaji wa kuku, mikeka, vikapu na bidhaa za urembo.

    Imewekwa : December, 11, 2023

  • Ziara ya Kamati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

    Kamati ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia ofisi ya viongozi wakuu wa kitaifa, Zanzibar ikiongozwa na Mwenyekiti Mhe. Machano Othman Said imetembelea Kijiji cha Dunda katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kukagua mradi wa kutengeneza matofali katika Shule ya Msingi Mwanamakupa, kupokea ushuhuda kutoka kwa walengwa na kuzungumza na vikundi vya ujasiriamali

    Imewekwa : October, 30, 2023

  • Waziri Simbachawene ziarani Geita kukagua shughuli za TASAF

    Imewekwa : September, 17, 2023

  • TASAF katika Maonesho ya Kilimo ya Nanenane Mbeya 2023

    Imewekwa : August, 17, 2023

  • Waziri Simbachawene atembelea ofisi za TASAF July 13, 2023

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene alipotembelea Ofisi za TASAF jijini Dar es Salaam na kuzungumza na watendaji wa Mfuko huo.

    Imewekwa : July, 17, 2023

  • Ziara ya Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concar kutembelea miradi ya TASAF katika Kijiji cha Ikombolinga Willayani Chamwino, Dodoma tarehe 1 Juni, 2023

    Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concar ametembelea na kushuhudia baadhi ya miradi wilayani Chamwino kuangalia uhawilishaji fedha kwa walengwa wa TASAF katika kuwasaidia kujikwamua kiuchumi na miradi mingine ikiwemo bwawa la Nyikani lenye lengo la kusaidia jamii za vijijini. Balozi alifurahishwa sana na jinsi miradi hiyo inavyowafikia wahusika

    Imewekwa : June, 06, 2023

  • Wanufaika wa TASAF katika shughuli zao

    Imewekwa : May, 24, 2023

  • Kikao Kazi cha Wadau kupokea maoni kuhusu ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu kwenye Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa

    Kikao kazi cha wadau kwa ajili ya kupokea maoni kuhusu ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu kwenye Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa uliofanyika kwenye ofisi za TASAF jijini Dar es Salaam tarehe 13 Aprili, 2023.

    Imewekwa : April, 14, 2023