Maktaba ya Picha
-
Habari katika Picha
Imewekwa : July, 24, 2021
-
Salamu za Rambirambi
Kamati ya Taifa ya Uongozi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF wanaungana na Watanzania wote kumpa pole Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan na familia ya marehemu kwa kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Imewekwa : March, 23, 2021
-
Uzinduzi wa Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya PSSN
Imewekwa : June, 26, 2020