Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Mkutano wa Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa TASAF Kipindi cha Pili


Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani TASAF Bw. Shedrack Mziray akiwa na Kiongozi wa Shughuli za TASAF nchini Tanzania Bi. Claudia Taibo kutoka Benki ya Dunia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa TASAF Kipindi cha Pili uliofanyika katika ukumbi wa mikutano jijini Dar es Salaam

Sehemu ya washiriki wakifuatilia hoja mbalimbali zikiwasilishwa