Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Rais Samia akabidhi vitendea kazi kwa Mamlaka za Maeneo ya Utekelezaji wa Shughuli za TASAF - Tanzania Bara na Zanzibar


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan akitihutubia  katika Hafla ya kukabidhi magari kwa Mamlaka ya Maeneo ya utekelezaji kwa shughuli za TASAF Tanzania Bara na Zanzibar zilizofanyika katika viwanja vya Posta Kijitomyama Jijini Dar es Salaam

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mnufaika wa Mpango katika Hafla ya kukabidhi magari kwa Mamlaka ya Maeneo ya utekelezaji kwa shughuli za TASAF Tanzania Bara na Zanzibar. Zilizofanyika katika viwanja vya Posta Kijitomyama Jijini Dar es Salaam

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan akikagua magari kabla ya. kuyakabidhi magari kwa Mamlaka ya Maeneo ya utekelezaji kwa shughuli za TASAF Tanzania Bara na Zanzibar. Zilizofanyika katika viwanja vya Posta Kijitomyama Jijini Dar es Salaam

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan akikata utepe kama ishara ya. kukabidhi magari kwa Mamlaka ya Maeneo ya utekelezaji kwa shughuli za TASAF Tanzania Bara na Zanzibar. Zilizofanyika katika viwanja vya Posta Kijitomyama Jijini Dar es Salaam

 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Manejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akihutubia katika Hafla ya kukabidhi magari kwa Mamlaka ya Maeneo ya utekelezaji kwa shughuli za TASAF Tanzania Bara na Zanzibar 

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF akihutubia katika Hafla ya kukabidhi magari kwa Mamlaka ya Maeneo ya utekelezaji kwa shughuli za TASAF Tanzania Bara na Zanzibar