Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

TASAF yashiriki Maonesho ya Wiki ya Huduma za Fedha jijini Arusha


TASAF inashiriki Maonesho ya Wiki ya Huduma za Fedha yanayofanyika katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha 20-26 Novemba, 2023. Watumishi wa TASAF wanatoa maelezo na kujibu maswali kuhusu Utekelezaji wa Shughuli za TASAF

Walengwa wa TASAF wanaoshiriki  Maonesho ya Wiki ya Huduma za Fedha yanayoendelea katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid katika Jiji la Arusha wanaonyesha na kuuza bidhaa mbalimbali wanazotengeneza na  kuongeza kipato