Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Ujumbe wa Viongozi Waandamizi wa Benki ya Dunia watembelea wanufaika wa TASAF katika Manispaa ya Temeke


Ujumbe wa viongozi waandamizi wa Benki ya Dunia wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Sera za Maendeleo na Ubia Prof Mari Pangestu ukiwasili katika viwanja vya Shule ya Msingi Nzasa, Manispaa ya Temeke.

Mkurugenzi Mtendaji wa Sera za Maendeleo na Ubia Prof Mari Pangestu aki saini  kitabu cha Wageni katika viwanja vya Shule ya Msingi Nzasa A, Manispaa ya Temeke

Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Temeke Bw Elihuruma Mabelya akitoa neneo la ukaribisho wakati wa ziara ya viongozi waandamizi wa kutoka Benki ya Dunia katika Wilaya hiyo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa akizungumza na wanufaika wa TASAF wakati wa ziara ya viongozi waandamizi wa kutoka Benki ya Dunia

Mkurugenzi Mtendaji wa Sera za Maendeleo na Ubia wa Benki ya Dunia Prof Mari Pangestu akizungumza na Wanufaika wa TASAF

Mkurugenzi Mtendaji wa Sera za Maendeleo na Ubia wa Benki ya Dunia Prof Mari Pangestu akinunua bidhaa za Wanufaika wa TASAF

Mkurugenzi Mtendaji wa Sera za Maendeleo na Ubia wa Benki ya Dunia Prof Mari Pangestu akiwaaga Wanufaika wa TASAF.