Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Wanufaika TASAF Wajiimarisha Kiuchumi Wilayani Mpanda


Bi. Sikudhani Shabani akishona nguo za wateja wake Mtaa wa Kawajense, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi

 

Bi. Maria Maguta akiwa kwenye genge lake la mbogamboga, nyanya na viungo vingine Mtaa wa Kawajense, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi

 

Bi. Elizabeth Olabi aanzisha mradi wa kuuza mkaa kama njia mojawapo ya kujiongezea kipato Mtaa wa Majengo Mapya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi

 

Bi. Suzana Kangwele aanzisha mradi wa kupika maandazi kama njia mojawapo ya kujiongezea kipato Mtaa wa Kawajense, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi