Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Ziara ya Maafisa wa Serikali ya Angola katika Halmashauri za Wilaya ya Kibaha na Bagamoyo


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kibaha Bi. Butamo Nuru Ndalahwa akikaribisha Maafisa wa Serikali ya Angola katika Ukumbi wa Mkutano wa Mkoa wa Pwani

Maafisa wa Serikali ya Angola wakisikiliza taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa kwa Mkoa wa Pwani

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani Bw. Nsajigwa Mwamunyange (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa kutoka Serikali ya Angola pamoja na viongozi mbalimbali katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani

Kiongozi wa Shughuli za FAS katika Benki ya Dunia Bw. Boban Paul akizungumza na walengwa wa Mpango wa TASAF katika Kijiji cha Vikuge Wilayani Kibaha

Mkurugenzi Msaidizi FAS Bi. Rosa Teixeira de Carvalho akizungumza na walengwa wa Mpango wa TASAF katika Kijiji cha Vikuge Wilayani Kibaha

Mratibu wa Mkoa wa Pwani Bi. Roseline Kimaro akitoa maelezo kwa Maafisa wa Serikali ya Angola kuhusu vikundi vya kuweka na kuwekeza katika Kijiji cha Vikuge Wilayani Kibaha

Maafisa wa Serikali ya Angola wakiangalia bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na kikundi cha kuweka na kuwekeza cha Tupendane katika Kijiji cha Dunda Wilayani Bagamoyo

Kiongozi wa Shughuli za FAS katika Benki ya Dunia Bw. Boban Paul (kulia) akizungumza na walengwa wa Mpango TASAF katika Kijiji cha Dunda Wilayani Bagamoyo

Viongozi wa Kijiji cha Dunda wakiwa katika picha ya pamoja na Maafisa wa Serikali ya Angola, kikundi cha kuweka na kuwekeza Tupendane na viongozi mbalimbali Wilayani Bagamoyo