Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Ziara ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa TASAF katika Halmashauri ya Mji wa Newala


Mkurugenzi wa Programu za Jamii TASAF Bw. John Stephen akitoa maelezo mafupi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Ahmed Abbas Ahmed

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Ahmed Abbas Ahmed (katikati) akizungumza na ujumbe kutoka Ubalozi wa Norway pamoja na Viongazi wa TASAF walipomtembelea ofisini kwake

Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Mji wa Newala Bw. Alphayo Zacharia akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa katika ukumbi wa mkutano wa Mkoa wa Mtwara

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Abdalah Malela (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Ubalozi wa Norway pamoja na viongozi mbalimbali katika ukumbi wa mkutano wa Mkoa wa Mtwara

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Newala Bw. Geofrey Nnauye akizungumza na walengwa wa Mpango wa TASAF katika kijiji cha Msilili Wilayani Newala

Mkurugenzi wa Programu za Jamii – TASAF Bw. John Stephen akisisitiza jambo kwa Katibu wa Maswala ya Kisiasa Bw. Edmund Walton kutoka Ubalozi wa Norway kuhusu ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Msilili Wilayani Newala

Katibu wa Maswala ya Kisiasa Bw. Edmund Walton kutoka Ubalozi wa Norway akizungumza na kikundi cha kuweka akiba na kukuza uchumi wa kaya katika kijiji cha Msilili Wilayani Newala

Mkurugenzi wa Programu za Jamii – TASAF akitoa ufafanuzi kuhusu utararibu wa Ajira za Muda kwa Maafisa kutoka Ubalozi wa Norway katika kijiji cha Mandumba Wilayani Newala

Mkuu wa Wilaya ya Newala Mhe. Mwangi Kundya (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka Ubalozi wa Norway pamoja na viongozi mbalimbali walipomtembelea ofisini kwake