Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Ziara ya Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete kutembelea Ofisi za TASAF


Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga akitoa taarifa fupi kwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete alipotembelea Ofisi za TASAF

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Menejimenti ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF (hawapo pichani) alipotembelea Mfuko huo

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete (aliyeketi katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Timu ya Menejimenti ya TASAF