the minutes and a sub-counter with the seconds. It is made of solid gold, but also their special styles bring a new echo to public and review modern ladies watches design. www.paneraireplica.co hublot replicas watches rolex deepsea replica The white lacquered dial in the upper right quarter of the watch features a blue minute track on the outside and printed roman numerals in black all around. replica iwcs breguet replica The Maurice Lacroix logo at 12 oclock is crisp and adds a finishing touch to the small dial. Just below the main dial is a small seconds indicator with another one of those bulky looking hands.

TASAF | Habari
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Kamati ya Uongozi TASAF yafanya kikao cha kwanza


Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Ladislaus Mwamanga (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya TASAF Taifa, Peter Ilomo kabla ya kuanza kwa kikao cha kwanza cha Kamati hiyo jijini Dodoma, Oktoba 20, 2022

Kamati ya Uongozi ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imekutana kwa mara ya kwanza tangu izunduliwe jijini Dodoma Chini ya Uenyekiti wa Bwana Peter Ilomo. Kamati hiyo ilizinduliwa Oktoba 24, 2022 na Waziri wa Nchi (Ofisi ya Rais) Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama.

Bw. Ilomo anaungana na wajumbe wengine kwenye Kamati hiyo ambao ni Dkt. Grace Magembe, Dkt Charles Mwamaja, Dkt. Naftali Ng’ondi, Dkt. Ruth Lugwisha, Balozi Zuhura Bundala, Eng. Hussein Mativila, Adv. Richard Shilamba na Bwana Ali Salim Matta. Mkurugenzi wa TASAF Bwana Ladislaus Mwamanga ni Katibu wa Bodi.

Kamati ya Uongozi ya Kitaifa katika kikao chake kwa kwanza