Habari

Waziri Simbachawene aambatana na uongozi wa TASAF katika ziara nchini Afrika Kusini
Waziri ya Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora Mhe. George Boniface Simbachawene pamoja na viongozi waandamizi wa Mfuko wa Maendeleo ya J...

Kamati ya Bunge yaipongeza TASAF kwa utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo
Kamati ya Kudumu ya Bunge, Utawala Katiba na Sheria imeupongeza Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kwa utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo inayoboresha upatikanaj...

TASAF yainua kipato kwa Walengwa, yaongeza mahudhurio Kliniki, Shule
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, kupitia ruzuku ya msingi na ruzuku za kutimiza masharti ya elimu na afya imechochea kaya kuongezeka mapato na matumizi na mah...

TASAF yazindua malipo kwa walengwa wanaoishi kando ya barabara za Mwendo Kasi
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umezindua zoezi la malipo kwa walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa wanaoishi kwenya nyumba za kupanga zilizopo kand...

TASAF yakamilisha Ujenzi wa Nyumba za Walimu, yasisitiza utunzaji
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umekamilisha ujenzi wa majengo mawili ya nyumba za walimu yenye mfumo wa 2 kwa 1 zilizojengwa kwenye shule ya Sekondari...

Serikali yataka Waratibu TASAF kuandaa kanzi data ya wanafunzi waliohitimu elimu ya juu
Serikali imewataka waratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini TASAF kuandaa kanzi data za wanafunzi wanaohitimu elimu ya juu ambao wanaonufaika na Mfuko huo...

Wananchi waaswa kutunza miradi ya TASAF
Wakazi wa Shehia ya Kinyikani na maeneo jirani katika wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wametakiwa kutunza miundombinu ya kituo cha Afya Kinyikani k...

Wanufaika wa TASAF Zanzibar wajikwamua kiuchumi
Wanufaika wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wameushukuru Mfuko huo kwa kuwawezesha na kuwasaidia kuinua vipato vyao na familia zao kwa ujumla. Wametoa...

TASAF yakamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kinyikani Wilayani Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba
TASAF yakamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kinyikani Wilayani Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, Visiwani Zanzibar kilichozinduliwa tarehe 3/1/2025 na Spika wa...

Mziray ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Bwana Shedrack Salmin Mziray kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendele...

Mnufaika wa Ruzuku ya Uzalishaji Hamyawezi afanya makubwa ambayo wengine hawayawezi
Mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa mkazi wa Mtaa wa Chuno katika Manispaa ya Mtwara Mikindani Bi. Hamyawezi Mshamu ambaye amepokea Ruzuku ya Uzalis...

Benki ya Dunia yafurahishwa na matumizi ya Ruzuku ya Uzalishaji Mtwara
Wawakilishi kutoka Benki ya Dunia, Stanley Magesa na Faith Msechu wakizungumza na wanufaika wa Ruzuku ya Uzalishaji inayotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii T...

Benki ya Dunia yafurahishwa Ruzuku ya Uzalishaji Rungwe
Wadau wa Maendeleo ikiwemo Benki ya Dunia wamefurahishwa na jinsi Ruzuku ya Uzalishaji inavyowanufaisha Walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Halma...

TASAF ilivyonufaisha walengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida
Mnufaika wa Mpango wa TASAF Bi. Elizabeth Vicent akionesha Kondoo aliofanikiwa kuwamiliki baada ya kupokea ruzuku ya uzalishaji kupitia programu ya kukuza uchum...

Waziri Simbachawene aeleza Mafanikio ya TASAF katika Miaka 60 ya Muungano
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ameueleza umma kuwa katika kipindi cha Miaka 60 ya Muun...

Wadau wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF) Wakutana Kutathmini Mifumo ya Malipo ya Walengwa na Kujadili Changamoto zinazojitokeza
Wadau mbalimbali wa Mpango wa TASAF wamekutana jijini Arusha katika mwendelezo wa vikao kazi kutathmini utekelezaji wa miongozo ya malipo, kujadili na kutafutia...

Kamati ya Bunge yashuhudia jinsi TASAF inavyogusa maisha
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria inatembelea miradi inayotekelezwa chini ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF katika mikoa ya Iringa, Nj...

TASAF yakamilisha ujenzi wa Shule ya Sekondari ya mfano kwa shilingi milioni 900
Wanafunzi wanaotoka katika kaya za Wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa wakifurahia miundombinu ya shule ya Mfano ya Sekondari Igogwe katika Halmash...

Waziri Simbachawene azungumza na wakazi wa Migoli kuhusu TASAF
Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (MB) akizungumza na wakazi wa kijiji cha Migoli Halmashauri ya Wil...

Waziri Simbachawene Asifu Miradi ya TASAF Iringa
Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (MB) akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Kinywang’anga Halm...