Habari

TASAF yapata Tuzo ya nafasi ya Kwanza katika Maonesho ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi yaliyofanyika katika Kiwanja cha Mwanga Community Centre, Kigoma
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye akimkabidhi Tuzo ya mshindi wa Kwanza Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Afisa Miradi - Kitengo cha Kuwek...

Kaya 10,000 zanufaika na TASAF Wilayani Same
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Same, Annastazia Tutuba amesema kumekuwa na mafanikio makubwa katika utekelezaji wa miradi kupitia Mfuko wa Maen...

Ziara ya Maafisa wa Serikali ya Angola katika Halmashauri za Wilaya ya Kibaha na Bagamoyo
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kibaha Bi. Butamo Nuru Ndalahwa akikaribisha Maafisa wa Serikali ya Angola katika Ukumbi wa Mkutano wa Mkoa wa Pwani...

Wafanyakazi TASAF watakiwa kuzingatia maadili
Wafanyakazi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF wametakiwa kufanya kazi kwa ueledi na kuzingatia maadili huku wakiepuka ubaguzi wa aina yoyote katika u...

Maafisa wa Serikali ya Angola wafanya ziara ya mafunzo TASAF
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga akizungumza katika hafla ya kuwakaribisha Maafisa wa Serikali kutoka Angola ambao wako nchini kujifunza utek...

TASAF: Ushirikishwaji wa Kunusuru Kaya za Walengwa utahusisha Nchi nzima Bara na Visiwani
Mkurugenzi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF Ladislaus Mwamanga akizungmza katika mkutano wa Kikao kazi cha wadau kwa ajili ya kupokea maoni kuhusu ushirikis...

Ziara ya Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete kutembelea Ofisi za TASAF
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga akitoa taarifa fupi kwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora M...

Katibu Mkuu Ikulu afanya ziara Ofisi za TASAF Dodoma
Katibu Mkuu Ikulu Ndugu Mululi Majula Mahendeka ametembelea Ofisi za TASAF Makao Makuu Dodoma siku ya Jumatatu tarehe 27 Februari, 2023 na kufanya kikao kazi na...

Wanufaika wa TASAF Igagala Wako Tayari Kuhitimu
Wanufaika wa TASAF wa Kijiji cha Igagala Wilayani Wanging'ombe wamekiri kuwa tayari kutoka kwenye Mpango wa TASAF kwa kuwa imewafikisha mahali pazuri kiuchu...

Wadau wa Maendeleo Wafanya Ziara kwenye Shughuli za TASAF Mkoani Mtwara
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Bw. Abdallah Malela (katikati) akiongoza kikao kazi cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kilichofanyi...

Wadau wa Maendeleo watembelea miradi ya TASAF
Mwakilishi wa Benki ya Dunia Wout Soer akizungumza wakati wa ziara ya Wadau wa Maendeleo mkoani Mwanza. Kulia ni Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani TASAF, Shedrack...

Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango Azindua Kituo cha Afya Kendwa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Afya Kendwa, Wilaya ya M...

Uzinduzi wa Madarasa 12 katika Shule ya Piki Shule za Sekondari na Msingi za Piki
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhe. Suleiman Said Jafo akifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa madarasa 12 katika shule ya Piki...

Simbachawene aweka jiwe la msingi ujenzi wa kituo cha afya Uzi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Boniface Simbachawene ameweka Jiwe la Ms...

Kaya za Walengwa 174,586 kuhitimu TASAF
Kaya za walengwa 174,586 ambao wananufaika na ruzuku kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF wanatarajiwa kuhitimu kutoka Mfuko huo na hivyo kukoma kupo...

Waziri Mhagama apongeza miradi ya miundombinu TASAF
Waziri wa Nchi (Ofisi ya Rais) Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema miradi ya miundombinu ya elimu, afya na maji inayoj...

NBS kufanya utafiti matokeo mradi wa OPEC
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF, Ladislaus Mwamanga (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt Albina...

Dkt. Mpango ataka changamoto TASAF zishughulikiwe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ametaka changamoto mbalimbali katika Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa wa Mfu...

Wafanyakazi TASAF Wapata Mafunzo ya Maadili na Mawasiliano kwa Umma Mahali pa Kazi
Wataalam kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania wamefanya Mafunzo Juu ya Maadili na Mawasiliano kwa Umma na Mahali pa Kazi kwa Watumishi wa TASAF yanayofanyi...

Kamati ya Uongozi TASAF yafanya kikao cha kwanza
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Ladislaus Mwamanga (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya TASAF Taifa, Peter Ilomo kabla ya kuanza kwa kikao...