Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

TASAF yapongezwa kwa utekelezaji thabiti wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini

Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imezipongeza Serikali za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Zanzibar kwa kuendelea kubo...

Miaka Minne ya Rais Samia Suluhu Hassan: Kaya 400,000 zaondokana na umaskini uliokithiri

Takribani kaya 400,000 zimefanikiwa kuondokana na hali ya umaskini uliokithiri na kuhitimu kwenye Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaotekelezwa na Mfuko wa Maen...

Waziri Simbachawene aeleza waliyojifunza kuhusu Mradi Ajira za Muda Kwa Watu Wasiokuwa Na Uwezo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti, Utumishi na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene amesema ziara ya Mafunzo na kubadilishana uzoefu iliyofanyika nchin...

TASAF kuboresha zaidi Ajira za Muda mfupi

Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, Shedrack Mziray amesema ziara ya mafunzo nchini, Afrika Kusini kuhusu utekelezaji wa ajira za muda mfu...

Kamati ya Kitaifa ya Uongozi yavutiwa na Utekelezaji wa Miradi ya TASAF Dodoma

Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Uongozi, Bw. Peter Ilomo amepongeza utekelezaji wa shughuli za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF katika Mkoa wa Dodoma b...

Waziri Simbachawene aambatana na uongozi wa TASAF katika ziara nchini Afrika Kusini

Waziri ya Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora Mhe. George Boniface Simbachawene pamoja na viongozi waandamizi wa Mfuko wa Maendeleo ya J...

Kamati ya Bunge yaipongeza TASAF kwa utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo

Kamati ya Kudumu ya Bunge, Utawala Katiba na Sheria imeupongeza Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kwa utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo inayoboresha upatikanaj...

TASAF yainua kipato kwa Walengwa, yaongeza mahudhurio Kliniki, Shule

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, kupitia ruzuku ya msingi na ruzuku za kutimiza masharti ya elimu na afya imechochea kaya kuongezeka mapato na matumizi na mah...

TASAF yazindua malipo kwa walengwa wanaoishi kando ya barabara za Mwendo Kasi

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umezindua zoezi la malipo kwa walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa wanaoishi kwenya nyumba za kupanga zilizopo kand...

TASAF yakamilisha Ujenzi wa Nyumba za Walimu, yasisitiza utunzaji

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umekamilisha ujenzi wa majengo mawili ya nyumba za walimu yenye mfumo wa 2 kwa 1 zilizojengwa  kwenye shule ya Sekondari...

Serikali yataka Waratibu TASAF kuandaa kanzi data ya wanafunzi waliohitimu elimu ya juu

Serikali imewataka waratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini TASAF kuandaa kanzi data za wanafunzi wanaohitimu elimu ya juu ambao wanaonufaika na Mfuko huo...

Wananchi waaswa kutunza miradi ya TASAF

Wakazi wa Shehia ya Kinyikani na maeneo jirani katika wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wametakiwa kutunza miundombinu ya kituo cha Afya  Kinyikani k...

Wanufaika wa TASAF Zanzibar wajikwamua kiuchumi

Wanufaika wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wameushukuru Mfuko huo kwa kuwawezesha na kuwasaidia kuinua vipato vyao na familia zao kwa ujumla. Wametoa...

TASAF yakamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kinyikani Wilayani Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba

TASAF yakamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kinyikani Wilayani Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, Visiwani Zanzibar kilichozinduliwa tarehe 3/1/2025 na Spika wa...

Mziray ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Bwana Shedrack Salmin Mziray kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendele...

Mnufaika wa Ruzuku ya Uzalishaji Hamyawezi afanya makubwa ambayo wengine hawayawezi

Mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa mkazi wa Mtaa wa Chuno katika Manispaa ya Mtwara Mikindani Bi. Hamyawezi Mshamu ambaye amepokea Ruzuku ya Uzalis...

Benki ya Dunia yafurahishwa na matumizi ya Ruzuku ya Uzalishaji Mtwara

Wawakilishi kutoka Benki ya Dunia, Stanley Magesa na Faith Msechu wakizungumza na wanufaika wa Ruzuku ya Uzalishaji inayotolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii T...

Benki ya Dunia yafurahishwa Ruzuku ya Uzalishaji Rungwe

Wadau wa Maendeleo ikiwemo Benki ya Dunia wamefurahishwa na jinsi Ruzuku ya Uzalishaji inavyowanufaisha Walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Halma...

TASAF ilivyonufaisha walengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida

Mnufaika wa Mpango wa TASAF Bi. Elizabeth Vicent akionesha Kondoo aliofanikiwa kuwamiliki baada ya kupokea ruzuku ya uzalishaji kupitia programu ya kukuza uchum...

Waziri Simbachawene aeleza Mafanikio ya TASAF katika Miaka 60 ya Muungano

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ameueleza umma kuwa katika kipindi cha Miaka 60 ya Muun...