Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Kikwete atembelea banda la TASAF, awapongeza walengwa

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais anayeshughulikia Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, ametembelea banda la Mfuko wa Maendeleo ya Ja...

TASAF na HESLB zashirikiana kutoa elimu kwa waombaji wa mikopo mwaka 2026/2027

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF kwa kushirikiana na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) tunatoa elimu na huduma ya upatikanaji wa viam...

TASAF yaimarisha Kinga ya Jamii kupitia Teknolojia

Wakati Tanzania ikiimarisha ajenda ya mageuzi ya kidijitali, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF) unaendelea kuwa mfano thabiti wa namna teknolojia inav...

TASAF yaendelea kubadili maisha ya wananchi Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, amesema kuwa Serikali imeendelea kusimamia kwa mafanikio utekelezaji w...

TASAF yaboresha upatikanaji wa huduma za afya Chamwino

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii -TASAF umeendelea kuonesha mchango mkubwa katika kuboresha huduma za afya nchini, ambapo katika Kijiji cha Mgunga, Kata ya Msamalo w...

TASAF yaonesha matokeo chanya wakati wa mkutano wa ALAT jijini Arusha

Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Shedrack Mziray, anashiriki katika Mkutano Mkuu Maalum wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) unaofanyika katika Ukumbi wa...

TASAF yahawilisha bilioni 43.5 kwa Kaya Maskini, Serikali yaweka mikakati mipya

Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imetoa jumla ya shilingi bilioni 43.5 kwa kaya maskini nchini katika kipindi cha Julai 2025 hadi Machi 2026...

Halmashauri zaagizwa kuimarisha usimamizi wa Kaya zilizohitimu TASAF

Serikali imeziagiza halmshauri zote nchini kuimarisha ufuatiliaji na usimamizi wa kaya zilizohitimu kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF), kwa len...

TASAF yawapa tabasamu wagonjwa katika Taasisi ya Saratani Ocean Road

Katika muendelezo wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani, wiki hii, Meneja Rasilimali Watu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii -TASAF Bi Mariam Al-jabiri akiwa a...

TASAF yashiriki mbio za Kili Marathon 2026

Watumishi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF) walikuwa ni miongoni mwa washiriki wa mbio za Kili Marathon zilizofanyika Tarehe 22 Machi, 2026 M...

Wanawake wanufaika Tasaf wafungua kiwanda cha kusaga karanga

Wanawake 15 wa kikundi cha Wasikivu katika Mtaa wa Kabangaja Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wamefanikiwa kuanzisha kiwanda kidogo cha kukaanga na kusaga kara...

TASAF cage fish project delivers results

THE Tanzania Social Action Fund (TASAF) cage fish farming project is delivering measurable results by increasing fish production, boosting household incomes and...

Mradi ujenzi mfereji wa maji Ngabobo waongeza uzalishaji nyanya, vitunguu

Mradi wa mfereji wa maji uliojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia mradi wa OPEC katika vijiji vitatu vya Ngabobo, Oltepes na Tank katika Halmas...

Wananchi kijiji cha Laja wilayani Karatu waishukuru TASAF ujenzi wa Sekondari Mpya

Wananchi Kijiji cha Laja katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha wameishukuru TASAF kukubali Mradi wa kupunguza Umaskini (OPEC) kutekelezwa katika...

TASAF yabainisha mafanikio mpango wa kupunguza umaskini

Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Shedrack Mziray ameeleza mafanikio makubwa ya Mradi wa Kupunguza Umaskini Awamu ya Nne (TPRP IV) ulio...

Mhe. Ridhwani Kikwete atembelea Ofisi za TASAF

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameielekeza Menejimenti ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (T...

TAARIFA MUHIMU

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) unapenda kuutangazia umma kuwa, HAUJATOA TANGAZO LA NAFAZI HIZI ZA KAZI ZINAZOSAMBAA KWENYE BAADHI YA MITANDAO YA KIJAMII....

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yaihakikishia TASAF ushirikiano awamu ya tatu ya Mpango

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF katika kuhakikisha utekelezaji wa Awamu ya T...

Madaraja ya TASAF yaunganisha jamii Bukoba

Watoto wanaonekana wakikimbia huku jua likichomoza mjini Bukoba, mabegi yao ya shule yakiwa mabegani huku wakivuka daraja la zege kuelekea Shule ya Msingi Kitey...

TASAF ilivyosaidia wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Mkoani Mbeya

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umetumia zaidi ya shilingi bilioni 68.6 kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika mkoa wa Mbeya kuanz...