Habari
TASAF yaboresha upatikanaji wa huduma za afya Chamwino
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii -TASAF umeendelea kuonesha mchango mkubwa katika kuboresha huduma za afya nchini, ambapo katika Kijiji cha Mgunga, Kata ya Msamalo w...
TASAF yaonesha matokeo chanya wakati wa mkutano wa ALAT jijini Arusha
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Shedrack Mziray, anashiriki katika Mkutano Mkuu Maalum wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) unaofanyika katika Ukumbi wa...
TASAF yahawilisha bilioni 43.5 kwa Kaya Maskini, Serikali yaweka mikakati mipya
Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) imetoa jumla ya shilingi bilioni 43.5 kwa kaya maskini nchini katika kipindi cha Julai 2025 hadi Machi 2026...
Halmashauri zaagizwa kuimarisha usimamizi wa Kaya zilizohitimu TASAF
Serikali imeziagiza halmshauri zote nchini kuimarisha ufuatiliaji na usimamizi wa kaya zilizohitimu kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF), kwa len...
TASAF yawapa tabasamu wagonjwa katika Taasisi ya Saratani Ocean Road
Katika muendelezo wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani, wiki hii, Meneja Rasilimali Watu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii -TASAF Bi Mariam Al-jabiri akiwa a...
TASAF yashiriki mbio za Kili Marathon 2026
Watumishi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TASAF) walikuwa ni miongoni mwa washiriki wa mbio za Kili Marathon zilizofanyika Tarehe 22 Machi, 2026 M...
Wanawake wanufaika Tasaf wafungua kiwanda cha kusaga karanga
Wanawake 15 wa kikundi cha Wasikivu katika Mtaa wa Kabangaja Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wamefanikiwa kuanzisha kiwanda kidogo cha kukaanga na kusaga kara...
TASAF cage fish project delivers results
THE Tanzania Social Action Fund (TASAF) cage fish farming project is delivering measurable results by increasing fish production, boosting household incomes and...
Mradi ujenzi mfereji wa maji Ngabobo waongeza uzalishaji nyanya, vitunguu
Mradi wa mfereji wa maji uliojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia mradi wa OPEC katika vijiji vitatu vya Ngabobo, Oltepes na Tank katika Halmas...
Wananchi kijiji cha Laja wilayani Karatu waishukuru TASAF ujenzi wa Sekondari Mpya
Wananchi Kijiji cha Laja katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha wameishukuru TASAF kukubali Mradi wa kupunguza Umaskini (OPEC) kutekelezwa katika...
TASAF yabainisha mafanikio mpango wa kupunguza umaskini
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Shedrack Mziray ameeleza mafanikio makubwa ya Mradi wa Kupunguza Umaskini Awamu ya Nne (TPRP IV) ulio...
Mhe. Ridhwani Kikwete atembelea Ofisi za TASAF
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameielekeza Menejimenti ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (T...
TAARIFA MUHIMU
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) unapenda kuutangazia umma kuwa, HAUJATOA TANGAZO LA NAFAZI HIZI ZA KAZI ZINAZOSAMBAA KWENYE BAADHI YA MITANDAO YA KIJAMII....
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yaihakikishia TASAF ushirikiano awamu ya tatu ya Mpango
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF katika kuhakikisha utekelezaji wa Awamu ya T...
Madaraja ya TASAF yaunganisha jamii Bukoba
Watoto wanaonekana wakikimbia huku jua likichomoza mjini Bukoba, mabegi yao ya shule yakiwa mabegani huku wakivuka daraja la zege kuelekea Shule ya Msingi Kitey...
TASAF ilivyosaidia wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Mkoani Mbeya
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umetumia zaidi ya shilingi bilioni 68.6 kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika mkoa wa Mbeya kuanz...
Uswisi yaahidi kuendeleza ushirikiano na TASAF katika kupunguza Umaskini
Serikali ya Uswisi imesisitiza nia yake ya kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa...
Sauti ya Mabadiliko: Stawisha Maisha inavyostawisha maisha kupitia redio Tanzania
Katika kijiji cha pembezoni, kando ya Ziwa Nyasa Kusini mwa Tanzania, redio ndogo inakuwa kitovu cha wanajmii kukutana. Wakati muziki wautambulisho wa kipingi c...
Wajumbe wa Taasisi ya Ladies of New Millennium waipongeza TASAF kwa utekelezaji bora wa Shughuli za Mpango.
Katika hatua inayoonesha dhamira ya dhati ya wanawake viongozi kushiriki katika maendeleo ya jamii, taasisi ya Ladies of New Millennium ikiongozwa na Mama Tunu...
Serikali yafanya mageuzi ya kimtazamo katika nafasi za uongozi kwa wanawake
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya imezindua rasmi kampeni ya inspire to lead yenye lengo la kub...
