Habari

Waziri Simbachawene akagua Ujenzi wa Shule inayojengwa na TASAF
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene akiwa katika ziara yake mkoani Geita alitembelea wilayani Chato, ambapo pamo...

Waziri Simbachawene azuru kituo cha afya Nyabilezi Chato
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora George Simbachawene ametembelea kituo cha afya Nyabilezi wilayani Chato akiwa kati...

Ridhiwani Kikwete avutiwa na miradi ya TASAF Simiyu
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe Ridhiwani Kikwete ameeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimba...

Waziri Simbachawene ziarani Geita kukagua shughuli za TASAF
Waziri wa Nchi Ofisi ya ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora George Simbachawene ameuagiza uongozi wa TASAF kubuni njia bora zaidi ya kuwali...

Walengwa TASAF wapongezwa kwa kushiriki miradi ya maendeleo
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amewapongeza wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Mas...

How TASAF helps PSSN beneficiaries in Bahi District
A PSSN beneficiary from Nagulo Bahi village in Bahi district Ms Belitha Mgoozi (Centre) posing with her grand-children while observing some of their pigs Ben...

Ziara ya Wadau wa Maendeleo katika Halmashauri ya Manispaa ya Temeke
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Shedrack Mziray akitoa maelezo mafupi kwa Wadau wa Maendeleo kutoka Ofisi ya Mambo ya Nje, Jumuiya ya Madola na Maendeleo...

Mhe. Ridhiwani Kikwete Akagua Shughuli za Walengwa Mkoani Singida
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiangalia mbuzi wanaofugwa na mmoja wa Walengwa kupit...

Mhe. Ridhiwani Kikwete afanya ziara Itigi, Singida kushuhudia malipo kwa wanufaika
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akishuhudia hatua mbalimbali za malipo kwa Wanufaika...

Walengwa TASAF Hupatikana kwa Uwazi - Ridhiwani Kikwete
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema mchakato wa kuwapata walengwa wa Mpango wa K...

Maafisa Wizara ya Fedha watembelea walengwa wa TASAF Nane Nane
Maofisa kutoka Wizara ya Fedha wametembelea banda la TASAF katika Maonesho ya Kilimo Nane Nane yanayofanyika katika viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya na...

TASAF yashiriki Maonesho ya Nane Nane kitaifa jijini Mbeya
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, unashiriki Maonesho ya Kilimo Nane Nane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya. Katika maon...

TASAF yashiriki Maonesho ya NANENANE 2023
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdori Mpango akifungua Maonesho ya Wakulima Maarufu kama NANENANE Yanayofanyika katika Viwa...

TASAF bado inahitajika kwa Maendeleo na Ustawi wa Jamii
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akizungumza na watumishi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TA...

Ziara ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa TASAF katika Halmashauri ya Mji wa Newala
Mkurugenzi wa Programu za Jamii TASAF Bw. John Stephen akitoa maelezo mafupi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Ahmed Abbas Ahmed Mkuu wa Mkoa wa Mt...

Mkutano wa Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa TASAF Kipindi cha Pili
Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani TASAF Bw. Shedrack Mziray akiwa na Kiongozi wa Shughuli za TASAF nchini Tanzania Bi. Claudia Taibo kutoka Benki ya Dunia wakati w...

TASAF kunufaika na msaada wa Sh. Bil 15 kutoka Uingereza
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Natu El- Maamry Mwamba na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. David Concar, wakipeana mikono baada ya kuba...

Balozi wa Uingereza apongeza miradi ya TASAF Chamwino
Mkurugenzi wa Fedha na Utawala TASAF akimkaribisha Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concor alipotembelea Makao Makuu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jami...

TASAF yapata Tuzo ya nafasi ya Kwanza katika Maonesho ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi yaliyofanyika katika Kiwanja cha Mwanga Community Centre, Kigoma
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye akimkabidhi Tuzo ya mshindi wa Kwanza Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Afisa Miradi - Kitengo cha Kuwek...

Kaya 10,000 zanufaika na TASAF Wilayani Same
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Same, Annastazia Tutuba amesema kumekuwa na mafanikio makubwa katika utekelezaji wa miradi kupitia Mfuko wa Maen...