Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Mradi ujenzi mfereji wa maji Ngabobo waongeza uzalishaji nyanya, vitunguu

Mradi wa mfereji wa maji uliojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia mradi wa OPEC katika vijiji vitatu vya Ngabobo, Oltepes na Tank katika Halmas...

Wananchi kijiji cha Laja wilayani Karatu waishukuru TASAF ujenzi wa Sekondari Mpya

Wananchi Kijiji cha Laja katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha wameishukuru TASAF kukubali Mradi wa kupunguza Umaskini (OPEC) kutekelezwa katika...

TASAF yabainisha mafanikio mpango wa kupunguza umaskini

Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Shedrack Mziray ameeleza mafanikio makubwa ya Mradi wa Kupunguza Umaskini Awamu ya Nne (TPRP IV) ulio...

Mhe. Ridhwani Kikwete atembelea Ofisi za TASAF

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameielekeza Menejimenti ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (T...

TAARIFA MUHIMU

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) unapenda kuutangazia umma kuwa, HAUJATOA TANGAZO LA NAFAZI HIZI ZA KAZI ZINAZOSAMBAA KWENYE BAADHI YA MITANDAO YA KIJAMII....

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yaihakikishia TASAF ushirikiano awamu ya tatu ya Mpango

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF katika kuhakikisha utekelezaji wa Awamu ya T...

Madaraja ya TASAF yaunganisha jamii Bukoba

Watoto wanaonekana wakikimbia huku jua likichomoza mjini Bukoba, mabegi yao ya shule yakiwa mabegani huku wakivuka daraja la zege kuelekea Shule ya Msingi Kitey...

TASAF ilivyosaidia wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Mkoani Mbeya

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umetumia zaidi ya shilingi bilioni 68.6 kwa ajili ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika mkoa wa Mbeya kuanz...

Uswisi yaahidi kuendeleza ushirikiano na TASAF katika kupunguza Umaskini

Serikali ya Uswisi imesisitiza nia yake ya kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa...

Sauti ya Mabadiliko: Stawisha Maisha inavyostawisha maisha kupitia redio Tanzania

Katika kijiji cha pembezoni, kando ya Ziwa Nyasa Kusini mwa Tanzania, redio ndogo inakuwa kitovu cha wanajmii kukutana. Wakati muziki wautambulisho wa kipingi c...

Wajumbe wa Taasisi ya Ladies of New Millennium waipongeza TASAF kwa utekelezaji bora wa Shughuli za Mpango.

Katika hatua inayoonesha dhamira ya dhati ya wanawake viongozi kushiriki katika maendeleo ya jamii, taasisi ya Ladies of New Millennium ikiongozwa na Mama Tunu...

Serikali yafanya mageuzi ya kimtazamo katika nafasi za uongozi kwa wanawake

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya imezindua rasmi kampeni ya inspire to lead yenye lengo la kub...

WFP kuendelelea kushirikiana na TASAF

Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF Bw. Shadrack Mziray amelishukuru Shirika la Chakula Duniani kwa Niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungan...

Wadau wa Maendeleo wafurahishwa na Miradi ya TASAF Zanzibar

Ujumbe kutoka Benki ya Dunia WB ukiongozwa na Claudia Zambra umeoneshwa kuridhishwa kwa kiasi kikubwa na miradi inayotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TA...

TASAF yapongezwa kwa utekelezaji thabiti wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini

Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imezipongeza Serikali za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Zanzibar kwa kuendelea kubo...

Waziri Simbachawene aeleza waliyojifunza kuhusu Mradi Ajira za Muda Kwa Watu Wasiokuwa Na Uwezo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti, Utumishi na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene amesema ziara ya Mafunzo na kubadilishana uzoefu iliyofanyika nchin...

TASAF kuboresha zaidi Ajira za Muda mfupi

Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, Shedrack Mziray amesema ziara ya mafunzo nchini, Afrika Kusini kuhusu utekelezaji wa ajira za muda mfu...

Kamati ya Kitaifa ya Uongozi yavutiwa na Utekelezaji wa Miradi ya TASAF Dodoma

Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Uongozi, Bw. Peter Ilomo amepongeza utekelezaji wa shughuli za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF katika Mkoa wa Dodoma b...

Waziri Simbachawene aambatana na uongozi wa TASAF katika ziara nchini Afrika Kusini

Waziri ya Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora Mhe. George Boniface Simbachawene pamoja na viongozi waandamizi wa Mfuko wa Maendeleo ya J...

Kamati ya Bunge yaipongeza TASAF kwa utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo

Kamati ya Kudumu ya Bunge, Utawala Katiba na Sheria imeupongeza Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kwa utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo inayoboresha upatikanaj...