Habari

Wadau wa Maendeleo Wafanya Ziara kwenye Shughuli za TASAF Mkoani Mtwara
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Bw. Abdallah Malela (katikati) akiongoza kikao kazi cha Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kilichofanyi...

Wadau wa Maendeleo watembelea miradi ya TASAF
Mwakilishi wa Benki ya Dunia Wout Soer akizungumza wakati wa ziara ya Wadau wa Maendeleo mkoani Mwanza. Kulia ni Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani TASAF, Shedrack...

Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango Azindua Kituo cha Afya Kendwa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Afya Kendwa, Wilaya ya M...

Uzinduzi wa Madarasa 12 katika Shule ya Piki Shule za Sekondari na Msingi za Piki
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhe. Suleiman Said Jafo akifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa madarasa 12 katika shule ya Piki...

Simbachawene aweka jiwe la msingi ujenzi wa kituo cha afya Uzi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Boniface Simbachawene ameweka Jiwe la Ms...

Kaya za Walengwa 174,586 kuhitimu TASAF
Kaya za walengwa 174,586 ambao wananufaika na ruzuku kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF wanatarajiwa kuhitimu kutoka Mfuko huo na hivyo kukoma kupo...

Waziri Mhagama apongeza miradi ya miundombinu TASAF
Waziri wa Nchi (Ofisi ya Rais) Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema miradi ya miundombinu ya elimu, afya na maji inayoj...

NBS kufanya utafiti matokeo mradi wa OPEC
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF, Ladislaus Mwamanga (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt Albina...

Dkt. Mpango ataka changamoto TASAF zishughulikiwe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ametaka changamoto mbalimbali katika Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa wa Mfu...

Wafanyakazi TASAF Wapata Mafunzo ya Maadili na Mawasiliano kwa Umma Mahali pa Kazi
Wataalam kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania wamefanya Mafunzo Juu ya Maadili na Mawasiliano kwa Umma na Mahali pa Kazi kwa Watumishi wa TASAF yanayofanyi...

Kamati ya Uongozi TASAF yafanya kikao cha kwanza
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Ladislaus Mwamanga (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya TASAF Taifa, Peter Ilomo kabla ya kuanza kwa kikao...

Wanufaika wa TASAF wahamasika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi
Mtaalam wa mabadiliko ya tabia nchi kutoka Benki ya Dunia Bw Marco Alcaraz akiwasilisha mada ya mabadiliko ya tabia nchi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii –...

Halmashauri 23 kupata magari mapya kwa ajili ya shughuli za TASAF
Halmashauri 23 zinazotelekeza shughuli za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF zinapata mafunzo ya matumizi ya magazi ambayo yatakabidhiwa kwao 30.9.2022. Magari h...

Uzinduzi wa Kamati ya Taifa ya Uongozi TASAF
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama, amezindua Kamati ya Uongozi ya TASAF Jumamosi 24 Septemba...

Mtandao wa Wabunge wa WB, IMF watembelea miradi ya TASAF Dodoma
Ujumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa walipotembelea mradi wa lambo la Chaco katika Kijiji cha Ikombolinga wilayani Ch...

Wanufaika TASAF Wajiimarisha Kiuchumi Wilayani Mpanda
Bi. Sikudhani Shabani akishona nguo za wateja wake Mtaa wa Kawajense, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Bi. Maria Maguta akiwa kw...

Kikao cha maandalizi ya Ziara ya Waziri wa Maendeleo wa Norway kutembelea miradi ya TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
Mchumi wa Ubalozi wa Norway Bw. Olav Lundstol (aliyevaa jaketi ya kijivu) akijadiliana na maofisa wa TASAF (kulia) wakati wa kikao cha maandalizi ya ziara ya Wa...

Rais Samia azindua Ukumbi wa Mitihani Skuli ya Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) akipata maelezo ya mradi kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Sera...

Walengwa wa TASAF Waaswa Kujiandaa Kuhitimu Kwenye Mpango
Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Bwana Steven Ndaki (aliyevaa kofia) akimsikiliza Bw. Allon Sanga ambaye ni mlengwa wa TASAF katika maonesho ya Nane Nane y...

Mfugaji mkubwa wa kuku ajifunza kutoka kwa mlengwa TASAF
Mfugaji mkubwa wa kuku kutoka Chunya, Alex Mwakipesile akistajabia jogoo anayefugwa na mnufaika wa TASAF, Fasness Jaton Alex Mwakipesile, mfugaji mkubwa wa k...