the minutes and a sub-counter with the seconds. It is made of solid gold, but also their special styles bring a new echo to public and review modern ladies watches design. www.paneraireplica.co hublot replicas watches rolex deepsea replica The white lacquered dial in the upper right quarter of the watch features a blue minute track on the outside and printed roman numerals in black all around. replica iwcs breguet replica The Maurice Lacroix logo at 12 oclock is crisp and adds a finishing touch to the small dial. Just below the main dial is a small seconds indicator with another one of those bulky looking hands.

TASAF | Habari
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Wanufaika wa TASAF wahamasika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

Mtaalam wa mabadiliko ya tabia nchi kutoka Benki ya Dunia Bw Marco Alcaraz akiwasilisha mada ya mabadiliko ya tabia nchi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii –...

Halmashauri 23 kupata magari mapya kwa ajili ya shughuli za TASAF

Halmashauri 23 zinazotelekeza shughuli za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF zinapata mafunzo ya matumizi ya magazi ambayo yatakabidhiwa kwao 30.9.2022. Magari h...

Uzinduzi wa Kamati ya Taifa ya Uongozi TASAF

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama, amezindua Kamati ya Uongozi ya TASAF Jumamosi 24 Septemba...

Mtandao wa Wabunge wa WB, IMF watembelea miradi ya TASAF Dodoma

Ujumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa walipotembelea mradi wa lambo la Chaco katika Kijiji cha Ikombolinga wilayani Ch...

Wanufaika TASAF Wajiimarisha Kiuchumi Wilayani Mpanda

Bi. Sikudhani Shabani akishona nguo za wateja wake Mtaa wa Kawajense, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi   Bi. Maria Maguta akiwa kw...

Kikao cha maandalizi ya Ziara ya Waziri wa Maendeleo wa Norway kutembelea miradi ya TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

Mchumi wa Ubalozi wa Norway Bw. Olav Lundstol (aliyevaa jaketi ya kijivu) akijadiliana na maofisa wa TASAF (kulia) wakati wa kikao cha maandalizi ya ziara ya Wa...

Rais Samia azindua Ukumbi wa Mitihani Skuli ya Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) akipata maelezo ya mradi kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Sera...

Walengwa wa TASAF Waaswa Kujiandaa Kuhitimu Kwenye Mpango

Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Bwana Steven Ndaki (aliyevaa kofia) akimsikiliza Bw. Allon Sanga ambaye ni mlengwa wa TASAF  katika maonesho ya Nane Nane y...

Mfugaji mkubwa wa kuku ajifunza kutoka kwa mlengwa TASAF

Mfugaji mkubwa wa kuku kutoka Chunya, Alex Mwakipesile akistajabia jogoo anayefugwa na mnufaika wa TASAF, Fasness Jaton Alex Mwakipesile, mfugaji mkubwa wa k...

Walengwa TASAF wakaribishwa sokoni Kariakoo

Walengwa wa TASAF (kulia) wakizungumza na wateja waliotembelea banda la TASAF Wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa wanaoshiriki Maonesho ya Kilim...

TASAF yazindua Taarifa ya Utafiti wa Mafanikio ya Mpango

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF umezindua taarifa ya utafiti wa mafanikio ya awamu ya kwanza ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa Uzindu...

Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kutembelea Miradi ya TASAF Pemba

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo akizungumza na walengwa pamoja na wananchi wakati wa ziara ya k...

Mafunzo ya Kutumia Zana ya Tathmini Shirikishi Jamii

Mkurugenzi wa Mifumo, Ufuatiliaji na Mawasiliano Bw Fariji Mishael akifungua mafunzo ya Tathmini Shirikishi Jamii. Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF...

Ziara ya Wadau wa Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tarehe 16 Juni, 2022

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Bw. Shauri Selenda, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa kwa wadau wa maen...

Waziri ataka walioboresha maisha wajitoe TASAF

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama amewataka wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa am...

Rais Samia akabidhi vitendea kazi kwa Mamlaka za Maeneo ya Utekelezaji wa Shughuli za TASAF - Tanzania Bara na Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan akitihutubia  katika Hafla ya kukabidhi magari kwa Mamlaka ya Maeneo ya utekelezaji kwa sh...

TASAF yapata Tuzo ya nafasi ya Tatu kwa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii inayohudumu Nchini katika Maonesho ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi katika Kiwanja cha Jamhuri, Manispaa ya Morogoro

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt Ashatu Kachwamba Kijaji akimkabidhi Tuzo ya Mshindi wa Tatu Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji w...

Maonesho ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi katika Kiwanja cha Jamhuri, Manispaa ya Morogoro

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Halima Okash akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Mifumo Ufuatiliaji na Mawasiliano wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TA...

TASAF Yashiriki Kikao Kazi Maofisa Habari Serikalini

Waziri wa Habari, Nape Nnauye akifungua kikao kazi cha maofisa habari na mawasiliano Serikalini, kilichofanyika mjini Tanga Maofisa Mawasiliano wa Mfuko wa M...

Maonesho ya Wiki ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete mkoani Dodoma 25/04/ 2022 hadi 1/5/2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania, Bw. Ladislaus Mwamanga (mwenye suti kulia) akiwa pamoja na watumishi wa TASAF na Wanufaika wa Mpang...