Habari

Wanufaika wa TASAF wahamasika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi
Mtaalam wa mabadiliko ya tabia nchi kutoka Benki ya Dunia Bw Marco Alcaraz akiwasilisha mada ya mabadiliko ya tabia nchi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii –...

Halmashauri 23 kupata magari mapya kwa ajili ya shughuli za TASAF
Halmashauri 23 zinazotelekeza shughuli za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF zinapata mafunzo ya matumizi ya magazi ambayo yatakabidhiwa kwao 30.9.2022. Magari h...

Uzinduzi wa Kamati ya Taifa ya Uongozi TASAF
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama, amezindua Kamati ya Uongozi ya TASAF Jumamosi 24 Septemba...

Mtandao wa Wabunge wa WB, IMF watembelea miradi ya TASAF Dodoma
Ujumbe wa Mtandao wa Wabunge wa Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa walipotembelea mradi wa lambo la Chaco katika Kijiji cha Ikombolinga wilayani Ch...

Wanufaika TASAF Wajiimarisha Kiuchumi Wilayani Mpanda
Bi. Sikudhani Shabani akishona nguo za wateja wake Mtaa wa Kawajense, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Bi. Maria Maguta akiwa kw...

Kikao cha maandalizi ya Ziara ya Waziri wa Maendeleo wa Norway kutembelea miradi ya TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
Mchumi wa Ubalozi wa Norway Bw. Olav Lundstol (aliyevaa jaketi ya kijivu) akijadiliana na maofisa wa TASAF (kulia) wakati wa kikao cha maandalizi ya ziara ya Wa...

Rais Samia azindua Ukumbi wa Mitihani Skuli ya Kizimkazi Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) akipata maelezo ya mradi kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Sera...

Walengwa wa TASAF Waaswa Kujiandaa Kuhitimu Kwenye Mpango
Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Bwana Steven Ndaki (aliyevaa kofia) akimsikiliza Bw. Allon Sanga ambaye ni mlengwa wa TASAF katika maonesho ya Nane Nane y...

Mfugaji mkubwa wa kuku ajifunza kutoka kwa mlengwa TASAF
Mfugaji mkubwa wa kuku kutoka Chunya, Alex Mwakipesile akistajabia jogoo anayefugwa na mnufaika wa TASAF, Fasness Jaton Alex Mwakipesile, mfugaji mkubwa wa k...

Walengwa TASAF wakaribishwa sokoni Kariakoo
Walengwa wa TASAF (kulia) wakizungumza na wateja waliotembelea banda la TASAF Wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa wanaoshiriki Maonesho ya Kilim...

TASAF yazindua Taarifa ya Utafiti wa Mafanikio ya Mpango
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF umezindua taarifa ya utafiti wa mafanikio ya awamu ya kwanza ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa Uzindu...

Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kutembelea Miradi ya TASAF Pemba
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo akizungumza na walengwa pamoja na wananchi wakati wa ziara ya k...

Mafunzo ya Kutumia Zana ya Tathmini Shirikishi Jamii
Mkurugenzi wa Mifumo, Ufuatiliaji na Mawasiliano Bw Fariji Mishael akifungua mafunzo ya Tathmini Shirikishi Jamii. Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF...

Ziara ya Wadau wa Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Tarehe 16 Juni, 2022
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Bw. Shauri Selenda, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa kwa wadau wa maen...

Waziri ataka walioboresha maisha wajitoe TASAF
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama amewataka wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa am...

Rais Samia akabidhi vitendea kazi kwa Mamlaka za Maeneo ya Utekelezaji wa Shughuli za TASAF - Tanzania Bara na Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan akitihutubia katika Hafla ya kukabidhi magari kwa Mamlaka ya Maeneo ya utekelezaji kwa sh...

TASAF yapata Tuzo ya nafasi ya Tatu kwa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii inayohudumu Nchini katika Maonesho ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi katika Kiwanja cha Jamhuri, Manispaa ya Morogoro
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt Ashatu Kachwamba Kijaji akimkabidhi Tuzo ya Mshindi wa Tatu Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji w...

Maonesho ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi katika Kiwanja cha Jamhuri, Manispaa ya Morogoro
Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Halima Okash akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Mifumo Ufuatiliaji na Mawasiliano wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TA...

TASAF Yashiriki Kikao Kazi Maofisa Habari Serikalini
Waziri wa Habari, Nape Nnauye akifungua kikao kazi cha maofisa habari na mawasiliano Serikalini, kilichofanyika mjini Tanga Maofisa Mawasiliano wa Mfuko wa M...

Maonesho ya Wiki ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi yanayofanyika katika Viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete mkoani Dodoma 25/04/ 2022 hadi 1/5/2022
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania, Bw. Ladislaus Mwamanga (mwenye suti kulia) akiwa pamoja na watumishi wa TASAF na Wanufaika wa Mpang...