Habari

Wahariri wa Vyombo vya Habari Tanzania Watembelea Miradi ya Miundombinu Njombe
Mwonekano wa madarasa yakiwa na samani zake katika shule ya Umonga Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini Tanzania wako katika ziara ya kutembelea Miradi ya Mi...

Kufurahi na Walengwa
Meneja Uendeshaji na Hifadhi ya Jamii wa Benki ya Dunia Afrika Mashariki, Robert Chase akifurahi na wanufaika wa TASAF katika kijiji cha Kongo Wilayani Bagamoyo...

Ujasiriamali wa Walengwa
Amani Group kikundi cha wanufaika wa TASAF kilicho chini ya mpango wa akiba na uwekezaji, wakionesha bidhaa zao wakati wadau wa maendeleo walipotembelea miradi...

Walengwa TASAF wajenga barabara Ruvu Darajani,Uswisi yapongeza
Walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika kijiji cha Ruvu Darajani Halmashauri ya Chalinze Mkoa wa Pwani wamefanikiwa kufungua mawasiliano ya barabara...

TASAF yaimarisha uchumi wa kaya Ruvu Darajani,Uswisi yapongeza
Mkuu wa Idara ya Afrika katika Shirika la Maendeleo la Uswisi Nicolas Randin akiangalia mikeka inayofumwa na mmoja wa walenga wa TASAF katika kujiingizia ki...

TASAF yatekeleza miradi ya maendeleo vijijini
Mbunge wa jimbo la Kilolo mkoa wa Iringa Jusin Nyamoga amesema utekelezaji wa shughuli za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF imefungua barabara nyingi ambazo zin...

Walengwa TASAF wajenga madaraja, barabara ya mtaa
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete (katikati) akikagua ujenzi wa moja ya madaraja yaliyoj...

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amepongeza TASAF kwa kuwawezesha wanufaika wa Mpango
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa amepongeza Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), kwa kuwawezesha wanufaika wa mfuko huo ikiwemo kuwasimamia katika shughuli za kiuchu...

TASAF katika Maonesho ya Wiki ya Huduma za Fedha
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii ni miongoni mwa washiriki wa maonyesho ya wiki ya huduma za fedha yanayoendelea katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha. Maon...

Ufunguzi Maonesho ya Wiki ya Huduma za Fedha jijini Arusha
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Shedrack Mziray akitoa maelezo kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ali...

TASAF yashiriki Maonesho ya Wiki ya Huduma za Fedha jijini Arusha
TASAF inashiriki Maonesho ya Wiki ya Huduma za Fedha yanayofanyika katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha 20-26 Novemba, 2023. Watumishi wa TASAF wa...

Simbachawene afafanua utaratibu Ajira za Muda
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene amefafanua utaratibu wa walengwa wa Mpango wa Kunusur...

Ziara ya Mafunzo kwa Kamati ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia Ofisi ya Viongozi Wakuu wa Kitaifa Zanzibar katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Bw. Shauri Selenda akikaribisha wajumbe wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia ofisi ya viongo...

TASAF kupokea msaada wa zaidi ya Sh. bilioni 50 kutoka Uswisi, Ireland
Serikali ya Tanzania imepewa msaada wa shilingi bilioni 50.13 kwa ajili ya kufadhili Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Kipindi cha Pili PSSN II unaosimamiwa...

Waziri Simbachawene akagua Ujenzi wa Shule inayojengwa na TASAF
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene akiwa katika ziara yake mkoani Geita alitembelea wilayani Chato, ambapo pamo...

Waziri Simbachawene azuru kituo cha afya Nyabilezi Chato
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora George Simbachawene ametembelea kituo cha afya Nyabilezi wilayani Chato akiwa kati...

Ridhiwani Kikwete avutiwa na miradi ya TASAF Simiyu
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe Ridhiwani Kikwete ameeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimba...

Waziri Simbachawene ziarani Geita kukagua shughuli za TASAF
Waziri wa Nchi Ofisi ya ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora George Simbachawene ameuagiza uongozi wa TASAF kubuni njia bora zaidi ya kuwali...

Walengwa TASAF wapongezwa kwa kushiriki miradi ya maendeleo
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amewapongeza wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Mas...

How TASAF helps PSSN beneficiaries in Bahi District
A PSSN beneficiary from Nagulo Bahi village in Bahi district Ms Belitha Mgoozi (Centre) posing with her grand-children while observing some of their pigs Ben...