the minutes and a sub-counter with the seconds. It is made of solid gold, but also their special styles bring a new echo to public and review modern ladies watches design. www.paneraireplica.co hublot replicas watches rolex deepsea replica The white lacquered dial in the upper right quarter of the watch features a blue minute track on the outside and printed roman numerals in black all around. replica iwcs breguet replica The Maurice Lacroix logo at 12 oclock is crisp and adds a finishing touch to the small dial. Just below the main dial is a small seconds indicator with another one of those bulky looking hands.

TASAF | Habari
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hamza Hassan Juma kutembelea Ofisi za TASAF Dodoma

Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Ladislaus Mwamanga akitoa taarifa fupi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hamza  Juma, wakati Waz...

Kamati ya Uongozi TASAF yatembelea miradi Mbeya

Mratibu wa TASAF Mkoa wa Mbeya, Aika Temu akisoma Taarifa ya Mkoa mbele ya Kamati USHAURI umetolewa kuwa miradi inayotelekelezwa na wanufika wa Mpango wa Kun...

TASAF yapongezwa kwa usimamizi mzuri katika utekelezaji wa miradi

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (USEMI), Mhe. Abdallah Chaurembo amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh...

Mlengwa TASAF aangua vifaranga kwa siku 17

Sifiaeli Lengaramu (kulia) akiifafanua jambo mbele ya Wajumbe Kamamti ya Uongozi ya TASAF walipomtembela nyumbani kwake Minjingu, Babati mkoani Manyara Kwa k...

Kamati ya Taifa ya Uongozi yatembelea walengwa Wilayani Babati Mkoani Manyara

Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF wakiwasikiliza Walengwa wa Mpango walipokuwa wakitoa ushuhuda wa mafanikio yao katika Kijiji cha Minjingu Wi...

Ziara ya Kamati ya kusimamia viongozi wakuu wa kitaifa kutembelea miradi ya TASAF mkoa wa Njombe

Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Makete (aliyesimama) Bw. William Makufwe akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango ngazi ya Halmashauri kwa Kamati ya kusim...

Naibu Waziri asisitiza Walengwa kujiunga katika Vikundi na kuanzisha miradi ya pamoja

  Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe Deogratius Ndejembi akizungumza na walengwa wa Mpango kati...

Ziara ya Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mhe. Anders Sjoberg katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba mkoani Kagera

Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mhe. Anders Sjoberg akiuliza swali baada ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa. Mku...

Ziara ya Wadau wa Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bagamoyo Bw. Shauri Selenda, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa kwa wadau wa maendeleo wali...

Watoto kutoka Kaya za Walengwa kuunganishwa katika Program za Kukuza Ujuzi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama ameshauri TASAF kufanya mawasiliano na Mpango wa Kukuza Ujuz...

Kamati ya Bajeti Baraza la Wawakilishi Zanzibar yashauri Vikundi vya Wanufaika wa TASAF Bara na Visiwani kuungana

KAMATI ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, imeshauri kuwepo kwa utaratibu wa vikundi vya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini (TASAF), kutoka...

Vikundi vya TASAF Dar vyaalikwa Zanzibar

VIKUNDI vya uzalishaji mali vinavyoundwa na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa unaotekelezwa na TASAF vimealikwa kwenda Zanzibar ili kubadilishana...

TASAF itangazwe kama mradi wa kimkakati – Ndejembi

Naibu  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi  amewataka  Waratibu wa TASAF katik...

Walengwa TASAF watakiwa kujitegemea

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na Walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya za W...

TASAF na Wadau wakutana kufanya mapitio ya Awamu ya Tatu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF pamoja na Wadau wa Maendeleo wanakutana kufanya mapitio ya Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya TASAF. Kikao hicho cha wiki...

Ziara ya Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa Kutembelea Miradi ya TASAF katika Mikoa ya Geita, Kagera na Kigoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa akizungumza na walengwa wa TASAF pamoja na wananchi wa m...

Ujumbe wa Viongozi Waandamizi wa Benki ya Dunia watembelea wanufaika wa TASAF katika Manispaa ya Temeke

Ujumbe wa viongozi waandamizi wa Benki ya Dunia wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Sera za Maendeleo na Ubia Prof Mari Pangestu ukiwasili katika viwanja vya...

Walengwa wa TASAF waombwa kutengewa maeneo ya biashara

Bi. Tausi Khalfani Abdallah (aliyeshika kipaza sauti) akimweleza Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Patrobass Katambi mambo ambayo yanafanyika kwen...

Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kutembelea Miradi ya TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Arusha na Karatu

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Oldonyowas pa...

Ziara ya Mhe. Balozi wa Norway nchini Tanzania Bi. Elisabeth Jacobsen na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la NORAD Bw. Bard Vegar Solhjell katika Kijiji cha Vikuge, Wilayani Kibaha, Mkoani Pwani

Mapokezi ya Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Elisabeth Jacobsen na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Norad Bw. Bård Vegar Solhjell pamoja na Mkurugen...