Habari

Ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hamza Hassan Juma kutembelea Ofisi za TASAF Dodoma
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Ladislaus Mwamanga akitoa taarifa fupi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hamza Juma, wakati Waz...

Kamati ya Uongozi TASAF yatembelea miradi Mbeya
Mratibu wa TASAF Mkoa wa Mbeya, Aika Temu akisoma Taarifa ya Mkoa mbele ya Kamati USHAURI umetolewa kuwa miradi inayotelekelezwa na wanufika wa Mpango wa Kun...

TASAF yapongezwa kwa usimamizi mzuri katika utekelezaji wa miradi
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (USEMI), Mhe. Abdallah Chaurembo amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh...

Mlengwa TASAF aangua vifaranga kwa siku 17
Sifiaeli Lengaramu (kulia) akiifafanua jambo mbele ya Wajumbe Kamamti ya Uongozi ya TASAF walipomtembela nyumbani kwake Minjingu, Babati mkoani Manyara Kwa k...

Kamati ya Taifa ya Uongozi yatembelea walengwa Wilayani Babati Mkoani Manyara
Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Uongozi ya TASAF wakiwasikiliza Walengwa wa Mpango walipokuwa wakitoa ushuhuda wa mafanikio yao katika Kijiji cha Minjingu Wi...

Ziara ya Kamati ya kusimamia viongozi wakuu wa kitaifa kutembelea miradi ya TASAF mkoa wa Njombe
Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Makete (aliyesimama) Bw. William Makufwe akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango ngazi ya Halmashauri kwa Kamati ya kusim...

Naibu Waziri asisitiza Walengwa kujiunga katika Vikundi na kuanzisha miradi ya pamoja
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe Deogratius Ndejembi akizungumza na walengwa wa Mpango kati...

Ziara ya Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mhe. Anders Sjoberg katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba mkoani Kagera
Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mhe. Anders Sjoberg akiuliza swali baada ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa. Mku...

Ziara ya Wadau wa Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bagamoyo Bw. Shauri Selenda, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa kwa wadau wa maendeleo wali...

Watoto kutoka Kaya za Walengwa kuunganishwa katika Program za Kukuza Ujuzi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama ameshauri TASAF kufanya mawasiliano na Mpango wa Kukuza Ujuz...

Kamati ya Bajeti Baraza la Wawakilishi Zanzibar yashauri Vikundi vya Wanufaika wa TASAF Bara na Visiwani kuungana
KAMATI ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, imeshauri kuwepo kwa utaratibu wa vikundi vya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini (TASAF), kutoka...

Vikundi vya TASAF Dar vyaalikwa Zanzibar
VIKUNDI vya uzalishaji mali vinavyoundwa na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya za Walengwa unaotekelezwa na TASAF vimealikwa kwenda Zanzibar ili kubadilishana...

TASAF itangazwe kama mradi wa kimkakati – Ndejembi
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi amewataka Waratibu wa TASAF katik...

Walengwa TASAF watakiwa kujitegemea
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na Walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya za W...

TASAF na Wadau wakutana kufanya mapitio ya Awamu ya Tatu
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF pamoja na Wadau wa Maendeleo wanakutana kufanya mapitio ya Kipindi cha Pili cha Awamu ya Tatu ya TASAF. Kikao hicho cha wiki...

Ziara ya Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa Kutembelea Miradi ya TASAF katika Mikoa ya Geita, Kagera na Kigoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa akizungumza na walengwa wa TASAF pamoja na wananchi wa m...

Ujumbe wa Viongozi Waandamizi wa Benki ya Dunia watembelea wanufaika wa TASAF katika Manispaa ya Temeke
Ujumbe wa viongozi waandamizi wa Benki ya Dunia wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Sera za Maendeleo na Ubia Prof Mari Pangestu ukiwasili katika viwanja vya...

Walengwa wa TASAF waombwa kutengewa maeneo ya biashara
Bi. Tausi Khalfani Abdallah (aliyeshika kipaza sauti) akimweleza Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Patrobass Katambi mambo ambayo yanafanyika kwen...

Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kutembelea Miradi ya TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Arusha na Karatu
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Abdallah Chaurembo akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Oldonyowas pa...

Ziara ya Mhe. Balozi wa Norway nchini Tanzania Bi. Elisabeth Jacobsen na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la NORAD Bw. Bard Vegar Solhjell katika Kijiji cha Vikuge, Wilayani Kibaha, Mkoani Pwani
Mapokezi ya Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Elisabeth Jacobsen na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Norad Bw. Bård Vegar Solhjell pamoja na Mkurugen...