Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Ikulu

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii

Habari

Ziara ya Wadau wa Maendeleo katika Halmashauri ya Manispaa ya Temeke

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Shedrack Mziray akitoa maelezo mafupi kwa Wadau wa Maendeleo kutoka Ofisi ya Mambo ya Nje, Jumuiya ya Madola na Maendeleo...

Mhe. Ridhiwani Kikwete Akagua Shughuli za Walengwa Mkoani Singida

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiangalia mbuzi wanaofugwa na mmoja wa Walengwa kupit...

Mhe. Ridhiwani Kikwete afanya ziara Itigi, Singida kushuhudia malipo kwa wanufaika

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akishuhudia hatua mbalimbali za malipo kwa Wanufaika...

Walengwa TASAF Hupatikana kwa Uwazi - Ridhiwani Kikwete

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema mchakato wa kuwapata walengwa wa Mpango wa K...

Maafisa Wizara ya Fedha watembelea walengwa wa TASAF Nane Nane

Maofisa kutoka Wizara ya Fedha wametembelea banda la TASAF katika Maonesho ya Kilimo Nane Nane yanayofanyika katika viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya na...

TASAF yashiriki Maonesho ya Nane Nane kitaifa jijini Mbeya

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, unashiriki Maonesho ya Kilimo Nane Nane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya. Katika maon...

TASAF yashiriki Maonesho ya NANENANE 2023

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdori Mpango akifungua Maonesho ya Wakulima Maarufu kama NANENANE Yanayofanyika katika Viwa...

TASAF bado inahitajika kwa Maendeleo na Ustawi wa Jamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akizungumza na watumishi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TA...

Ziara ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa TASAF katika Halmashauri ya Mji wa Newala

Mkurugenzi wa Programu za Jamii TASAF Bw. John Stephen akitoa maelezo mafupi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Ahmed Abbas Ahmed Mkuu wa Mkoa wa Mt...

Mkutano wa Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa TASAF Kipindi cha Pili

Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani TASAF Bw. Shedrack Mziray akiwa na Kiongozi wa Shughuli za TASAF nchini Tanzania Bi. Claudia Taibo kutoka Benki ya Dunia wakati w...

TASAF kunufaika na msaada wa Sh. Bil 15 kutoka Uingereza

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Natu El- Maamry Mwamba na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. David Concar, wakipeana mikono baada ya kuba...

Balozi wa Uingereza apongeza miradi ya TASAF Chamwino

Mkurugenzi wa Fedha na Utawala TASAF akimkaribisha Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David Concor alipotembelea Makao Makuu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jami...

TASAF yapata Tuzo ya nafasi ya Kwanza katika Maonesho ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi yaliyofanyika katika Kiwanja cha Mwanga Community Centre, Kigoma

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye akimkabidhi Tuzo ya mshindi wa Kwanza Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Afisa Miradi - Kitengo cha Kuwek...

Kaya 10,000 zanufaika na TASAF Wilayani Same

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Same, Annastazia Tutuba amesema kumekuwa na mafanikio makubwa katika utekelezaji wa miradi kupitia Mfuko wa Maen...

Ziara ya Maafisa wa Serikali ya Angola katika Halmashauri za Wilaya ya Kibaha na Bagamoyo

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kibaha Bi. Butamo Nuru Ndalahwa akikaribisha Maafisa wa Serikali ya Angola katika Ukumbi wa Mkutano wa Mkoa wa Pwani...

Wafanyakazi TASAF watakiwa kuzingatia maadili

Wafanyakazi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii – TASAF wametakiwa kufanya kazi kwa ueledi na kuzingatia maadili huku wakiepuka ubaguzi wa aina yoyote katika u...

Maafisa wa Serikali ya Angola wafanya ziara ya mafunzo TASAF

Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga akizungumza katika hafla ya kuwakaribisha Maafisa wa Serikali kutoka Angola ambao wako nchini kujifunza utek...

TASAF: Ushirikishwaji wa Kunusuru Kaya za Walengwa utahusisha Nchi nzima Bara na Visiwani

Mkurugenzi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF Ladislaus Mwamanga akizungmza katika mkutano wa Kikao kazi cha wadau kwa ajili ya kupokea maoni kuhusu ushirikis...

Ziara ya Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete kutembelea Ofisi za TASAF

Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga akitoa taarifa fupi kwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora M...

Katibu Mkuu Ikulu afanya ziara Ofisi za TASAF Dodoma

Katibu Mkuu Ikulu Ndugu Mululi Majula Mahendeka ametembelea Ofisi za TASAF Makao Makuu Dodoma siku ya Jumatatu tarehe 27 Februari, 2023 na kufanya kikao kazi na...